Hakuna mtu ata iba kura Kenya

Bw Chris, afisa wa zamani wa uchaguzi mkuu wa Kenya

Bw Chris, afisa wa zamani wa uchaguzi mkuu wa Kenya Source: SBS Swahli

Wakenya wanapo anza kupiga kura, wasi wasi ume ongezeka kuhusu usalama wa kura wanazo piga. SBS Swahili ime zungumza na afisa wa zamani katika uchaguzi mkuu nchini Kenya, aliye zungumzia mchakato mzima wakupiga kura nchini humo.


Bofya hapo chini utazame mahojiano tuliyo fanya na Bw Chris ambaye aliongoza shughuli za uchaguzi mkuu uliopita nchini Kenya.
Bofya hapo chini utazame sehemu ya pili ya mazungumzo tuliyo fanya na Bw Chris. Samahani kwa kelele kwenye video, tulikabiliwa na hitilafu za mitambo.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service