Wakenya wanapo anza kupiga kura, wasi wasi ume ongezeka kuhusu usalama wa kura wanazo piga. SBS Swahili ime zungumza na afisa wa zamani katika uchaguzi mkuu nchini Kenya, aliye zungumzia mchakato mzima wakupiga kura nchini humo.
Bofya hapo chini utazame mahojiano tuliyo fanya na Bw Chris ambaye aliongoza shughuli za uchaguzi mkuu uliopita nchini Kenya.
Bofya hapo chini utazame sehemu ya pili ya mazungumzo tuliyo fanya na Bw Chris. Samahani kwa kelele kwenye video, tulikabiliwa na hitilafu za mitambo.Share





