Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Hakuna mtu ata iba kura Kenya

Bw Chris, afisa wa zamani wa uchaguzi mkuu wa Kenya

Bw Chris, afisa wa zamani wa uchaguzi mkuu wa Kenya Source: SBS Swahli

Wakenya wanapo anza kupiga kura, wasi wasi ume ongezeka kuhusu usalama wa kura wanazo piga. SBS Swahili ime zungumza na afisa wa zamani katika uchaguzi mkuu nchini Kenya, aliye zungumzia mchakato mzima wakupiga kura nchini humo.


Bofya hapo chini utazame mahojiano tuliyo fanya na Bw Chris ambaye aliongoza shughuli za uchaguzi mkuu uliopita nchini Kenya.

Bofya hapo chini utazame sehemu ya pili ya mazungumzo tuliyo fanya na Bw Chris. Samahani kwa kelele kwenye video, tulikabiliwa na hitilafu za mitambo.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now