Wiki hii mjini Canberra 23Feb18

Bendera ya Australia yapepea juu ya bunge la taifa mjini Canberra

Bendera ya Australia yapepea juu ya bunge la taifa mjini Canberra Source: AAP


Naibu waziri mkuu Barnaby Joyce alijiuzulu baada ya madai ya unyanyasaji wakingono dhidi yake kuvuja.

Hayo yakiwa ni madai mapya katika wiki mbili zilizo jawa kashfa dhidi yake.

Isitoshe waziri mkuu wa zamani Tony Abbott alianza kuwakosoa mawaziri wa serikali, walipo tupilia mbali pendekezo lake kuhusu mahali ambapo viwango vya uhamiaji vina stahili sitishwa nchini Australia.

Matukio ya wiki hii, yana maana kwamba uvutio ambao serikali ilikuwa ime pata mwanzo wa mwaka huu, sasa ume potea.

Kasi yake yakisiasa ime yayuka kati ya kashfa na malumbano yaki siasa.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wiki hii mjini Canberra 23Feb18 | SBS Swahili