Msimu wa tatu wa mwaka ume anza nchini Australia, na msimu wa baridi unapo anza, miradi ya chanjo dhidi ya mafua nayo hufuata.
Bila shaka wengi wetu tuna pokea ama tuna fikiria kupokea chanjo dhidi ya mafua. Ripoti ya utafiti kwa visa vya mafua nchini Australia, ina onesha kume kuwa mwongezeko wa asilimia 4 ya idadi ya watu walio chanjwa mwaka jana. Licha yakuwa chanjo za mafua zina pendekezwa kwa kila mtu mwenye umri zaidi ya miezi sita, kuna maswala kadhaa mtu anapashwa zingatia.
Share





