Timmy TDAT"Nakuja kuwapa burudani hatari ya decade Sydney"

Nyota wa mziki wa Kenya Timmy Tdat

Nyota wa mziki wa Kenya Timmy Tdat Source: Timmy Tdat

Msanii maarufu kutoka Kenya Timmy TDAT, amefunguka kuhusu changamoto na mafanikio yake katika mziki.


Timmy TDAT atafanya ziara yake ya kwanza nchini Australia, ambako wapenzi wa mziki wake watajumuika katika ukumbi wa Himalayan Emporium mjini Bankstown, NSW kwa tamasha ambayo msanii amesema itakuwa "burudani ya hatari ya decade".

Unaweza pata tiketiz za tamasha hiyo kwenye tovuti hii: www.eventbrite.com.au


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Timmy TDAT"Nakuja kuwapa burudani hatari ya decade Sydney" | SBS Swahili