Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Timmy TDAT"Nakuja kuwapa burudani hatari ya decade Sydney"

Nyota wa mziki wa Kenya Timmy Tdat

Nyota wa mziki wa Kenya Timmy Tdat Source: Timmy Tdat

Msanii maarufu kutoka Kenya Timmy TDAT, amefunguka kuhusu changamoto na mafanikio yake katika mziki.


Timmy TDAT atafanya ziara yake ya kwanza nchini Australia, ambako wapenzi wa mziki wake watajumuika katika ukumbi wa Himalayan Emporium mjini Bankstown, NSW kwa tamasha ambayo msanii amesema itakuwa "burudani ya hatari ya decade".

Unaweza pata tiketiz za tamasha hiyo kwenye tovuti hii: www.eventbrite.com.au


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now