Utofauti wa maoni umeibuka, kati ya vyama vinavyo wakilisha wataalam wa uzimamoto nchini Australia.
Hoja kubwa ni kama tume yakifalme ya uchunguzi kwa janga la moto wa vichaka inastahili anzishwa.
Vyama hivyo vime toa taarifa zaku tofautiana, kwa niaba ya wanachama wao kwa swala hilo.
Share





