Firefighters battle bushfires in northern NSW. There's fears ash from the fires will contaminate drinking water. Source: AAPUtofauti wa maoni umeibuka, kati ya vyama vinavyo wakilisha wataalam wa uzimamoto nchini Australia.
Published
Updated
By Allan Lee, Maani Truu
Presented by Gode Migerano, Frank Mtao
Source: SBS
Skip to podcast episode content
Share this with family and friends
Utofauti wa maoni umeibuka, kati ya vyama vinavyo wakilisha wataalam wa uzimamoto nchini Australia.
Hoja kubwa ni kama tume yakifalme ya uchunguzi kwa janga la moto wa vichaka inastahili anzishwa.
Vyama hivyo vime toa taarifa zaku tofautiana, kwa niaba ya wanachama wao kwa swala hilo.