Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Turnbull akutana na Obama kwa mara ya mwisho

Malcolm Turnbull akutana na Barack Obama katika mkutano wa APEC
Malcolm Turnbull akutana na Barack Obama katika mkutano wa APEC Source: AAP

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull na Rais wa Marekani Barack Obama wame fanya mkutano kwa takriban saa nzima siku ya mwisho ya mkutano wa ushirikiano wa uchumi wa mataifa ya bara Asia na Pacific nchini Peru.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Waziri Mkuu Malcolm Turnbull na Rais wa Marekani Barack Obama wame fanya mkutano kwa takriban saa nzima siku ya mwisho ya mkutano wa ushirikiano wa uchumi wa mataifa ya bara Asia na Pacific nchini Peru.


Hiyo ilikuwa mara ya mwisho kwa viongozi hao wawili, kufanya mkutano rasmi kabla ya Donald Trump kuapishwa nakuwa rais wa Marekani rasmi.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now