Utata waendelea kukumba uhusiano kati ya Australia na China

China's Ambassador to Australia, Xiao Qian

China's Ambassador to Australia, Xiao Qian Source: AAP / AAP

Ikulu ya Marekani imekosoa ongezeko la mazoezi yakijeshi ya China katika maeneo yanayo zingira Taiwan, kama tendo laki chochezi na lisilo na uwajibikaji.


Mazoezi hayo yameingia siku ya nne, wakati Taipei ikiishtumu Beijing kwakufanya matayarisho ya shambulizi kubwa.

Nayo Australia imejivuta katika mgogoro huo, balozi wa China mjini Canberra aki ikosoa vikali serikali ya shirikisho kwaku ikosoa Beijing kwa matumizi ya makombora aina ya ballistic karibu ya Taiwan.

Balozi wa China, Xiao Qian anatarajiwa kuhotubia mkutano wa waandishi wa habari wa taifa Jumanne 9 Agosti wiki ijayo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service