Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Utata waendelea kukumba uhusiano kati ya Australia na China

China's Ambassador to Australia, Xiao Qian

China's Ambassador to Australia, Xiao Qian Source: AAP / AAP

Ikulu ya Marekani imekosoa ongezeko la mazoezi yakijeshi ya China katika maeneo yanayo zingira Taiwan, kama tendo laki chochezi na lisilo na uwajibikaji.


Mazoezi hayo yameingia siku ya nne, wakati Taipei ikiishtumu Beijing kwakufanya matayarisho ya shambulizi kubwa.

Nayo Australia imejivuta katika mgogoro huo, balozi wa China mjini Canberra aki ikosoa vikali serikali ya shirikisho kwaku ikosoa Beijing kwa matumizi ya makombora aina ya ballistic karibu ya Taiwan.

Balozi wa China, Xiao Qian anatarajiwa kuhotubia mkutano wa waandishi wa habari wa taifa Jumanne 9 Agosti wiki ijayo.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now