Victoria lawajimbo lakwanza kurejesha vizuizi vya COVID-19

Victorian Premier Daniel Andrews and Victorian Health Minister Jenny Mikakos.

Victorian Premier Daniel Andrews and Victorian Health Minister Jenny Mikakos. Source: AAP

Jimbo la Victoria linarejea tena katika vizuizi vikali vyakudhibiti maambukizi ya coronavirus, baada ya ongezeko lingine la visa vya maambukizi kuripotiwa katika jimbo hilo.


Jimbo hilo nilakwanza nchini kuchukua mwelekeo tofauti namajimbo mengine, kwakuto regeza vizuizi wakati kunaongezeko la hofu kuhusu wimbi la pili la COVID-19.

Na unaweza endelea kupata taarifa mpya, kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii sbs.com.au/coronavirus


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Victoria lawajimbo lakwanza kurejesha vizuizi vya COVID-19 | SBS Swahili