Viongozi wakidini wajiandaa kwakuregezwa kwa vizuizi

Muumini wa dini laki Islamu asali ndani ya msikiti

Muumini wa dini laki Islamu asali ndani ya msikiti Source: Pixsell

Wakati Australia iliamkia mapunguzo kwa vizuizi vya idadi ya watu wanao weza kutana pamoja, viongoji katika jamii zakidini walianza kujiandaa kuwapokea watu kumi katika sehemu za ibada.


Wakati huo huo viongozi hao wamejiandaa kuwafungia milango, mamia yawaumini ambao wanatarajia wata anza kuwasili kushiriki katika ibada.

Kufikia jumatatu, mikusanyiko yote yakidini na sehemu za ibada kote nchini Australia, zitaweza wapokea waumi 10. Katika jimbo la Magharibi Australia, kuanzia jumatatu ijayo, sehemu za ibada zitaruhusiwa kuwapokea watu 20.

Na unaweza endelea kupokea taarifa mpya kuhusu coronavirus, katika lugha yako kupitia tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now