Virusi vya corona vya lazimisha kuahirishwa kwa michezo ya Olimpiki

bango la michezo ya olimpiki

bango la michezo ya olimpiki Source: IOC

Misimu ya AFL, NRL, Cricket na A-League yote imeahirishwa nchini Australia.


Kuahirishwa kwa misimu hiyo, nikatika sehemu ya juhudi zakudhibiti usambaaji wa virusi vya corona nchini Australia.

Hata hivyo viongozi wa michezo ya Olimpiki, ambao wamekuwa wakijivuta kutoa maamuzi iwapo michezo hiyo mjini Tokyo, Japan ita ahirishwa au la wamejipata mahali pagumu.

Frank Mtao ndiye mkuu wa idara ya michezo katika Idhaa ya Kiswahili, alifafanua maswala haya yakuahirishwa kwa misimu ya michezo katika makala haya.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Virusi vya corona vya lazimisha kuahirishwa kwa michezo ya Olimpiki | SBS Swahili