VIVA: Jinsi yakuchukua mapema mafao ya uzeeni

Mzee wakiume afanya usafi

Mzee wakiume afanya usafi Source: Getty Images

Uharibifu wa kiuchumi unaosababishwa na vizuizi vya COVID-19 umewaona zaidi ya Waaustralia milioni tatu wakitumbukia kwenye akiba yao ya uzeeni.


Iwe unahitaji nyongeza hiyo ya ziada kwa pesa taslimu au la, wataalam wa kifedha wanasema bado ni wakati mzuri wa kukagua hali ya akaunti yako ya malipo ya uzeeni.

Angalizo: Maoni katika makala hii ni ushauri wa jumla tu na hayatumiki kwa hali ya mtu binafsi. Ili kutafuta ushauri, zungumza na mtaalamu wa kifedha aliyehitimu au piga simu kwa Nambari ya bure ya Msaada wa Madeni ya Kitaifa kwa ushauri wa kifedha kupitia 1800 007 007.

Kwa taarifa za bure za kifedha katika lugha yako, wasiliana na Huduma ya Taarifa za Kifedha ya Australia kwa namba 131 202. Ikiwa kitambulisho chako kimeibiwa, wasiliana na IDCARE kupitia 1800 595 160.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service