Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Vivutio vyakifedha vyapendekezwa kabla ya bajeti ya taifa kutangazwa

Waziri Mkuu wa Australia Scott Morrison (kulia) na Mweka hazina wa Australia Josh Frydenberg wawasili bungeni

Waziri Mkuu wa Australia Scott Morrison (kulia) na Mweka hazina wa Australia Josh Frydenberg wawasili bungeni Source: AAP

Ni takriban wiki mbili kabla ya bajeti ya taifa kutolewa, na uvumi unaendelea kuongezeka kuhusu jinsi serikali inapanga kuongoza nchi hii kutoka mfumuko wa uchumi.


Published

Updated

By Pablo Vinales

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Ni takriban wiki mbili kabla ya bajeti ya taifa kutolewa, na uvumi unaendelea kuongezeka kuhusu jinsi serikali inapanga kuongoza nchi hii kutoka mfumuko wa uchumi.


Hali hiyo imejiri wakati malipo yamisaada yamamilioni yawa Australia, yanatarajiwa kupunguzwa katika wiki moja.

Waziri Mkuu Scott Morrison tayari ameomba juhudi inayo ongozwa na gesi, ichukuliwe kabiliana na mfumuko wa uchumi.

Wakati huo huo waziri wa nishati Angus Taylor, anatarajiwa kuweka wazi mwelekeo huo, katika ramani ya barabara ya teknolojia ambayo atatangaza tarehe 22 Septemba 2020.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now