Vizuizi vipya vyakupunguza usambaaji wa virusi vya corona, vilianza kutekelezwa kuanzia jumatatu tarehe 23 Machi .
Hatua hizo zita sababisha baadhi ya biashara kufungwa, baadhi ya biashara hizo zikijumuisha migahawa, baa na vyumba vyakufanyia mazoezi.
Ila huduma muhimu kama masoko namabenki yata endelea kuwa wazi.
Share






