Jukumu la baba katika maisha ya familia inapitia mageuzi, wengi wao kwa sasa wakifanyia kazi nyumbani wakati wa vizuizi vya coronavirus.
Kupitia vizuizi hivi, baba wengi wamegundua kuwa wanaweza tumia wakati mwingi zaidi kuwahudumia nakuwalea watoto wao.
Unaweza endelea kupata taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus
Share






