Vizuizi vyakujumuika katika umma, vyatangazwa katika jibu la virusi vya corona

Sheria mpya za umma zatolewa kukabiliana na virusi vya corona

Waziri Mkuu Scott Morrison (kulia) na Waziri wa Afya Greg Hunt (kushoto) wazungumza na waandishi wa habari Source: AAP

Idadi ya watu wanaoruhusiwa kujumuika katika umma imepunguzwa kutoka watu kumi hadi watu wawili, chini ya vizuizi vipya vyakukabiliana na virusi vya corona ambavyo vilitangazwa na baraza lamawaziri lakitaifa.


Watu wenye umri wa zaidi ya miaka 70 wameshauriwa wabaki nyumbani nawajitenge, wakati patakuwa pia marufuku kwa muda wa miezi sita kwa wenyenyumba kutowafukuza wapangaji.

Unaweza endelea kupata taarifa kuhusu virusi vya corona katika lugha yako kupitia tovuti hii sbs.com.au/coronavirus.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Vizuizi vyakujumuika katika umma, vyatangazwa katika jibu la virusi vya corona | SBS Swahili