Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Vizuizi vyakujumuika katika umma, vyatangazwa katika jibu la virusi vya corona

Sheria mpya za umma zatolewa kukabiliana na virusi vya corona

Waziri Mkuu Scott Morrison (kulia) na Waziri wa Afya Greg Hunt (kushoto) wazungumza na waandishi wa habari Source: AAP

Idadi ya watu wanaoruhusiwa kujumuika katika umma imepunguzwa kutoka watu kumi hadi watu wawili, chini ya vizuizi vipya vyakukabiliana na virusi vya corona ambavyo vilitangazwa na baraza lamawaziri lakitaifa.


Published

Updated

By Gareth Boreham

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Idadi ya watu wanaoruhusiwa kujumuika katika umma imepunguzwa kutoka watu kumi hadi watu wawili, chini ya vizuizi vipya vyakukabiliana na virusi vya corona ambavyo vilitangazwa na baraza lamawaziri lakitaifa.


Watu wenye umri wa zaidi ya miaka 70 wameshauriwa wabaki nyumbani nawajitenge, wakati patakuwa pia marufuku kwa muda wa miezi sita kwa wenyenyumba kutowafukuza wapangaji.

Unaweza endelea kupata taarifa kuhusu virusi vya corona katika lugha yako kupitia tovuti hii sbs.com.au/coronavirus.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now