Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je unataka kupiga kura mapema?

Wapiga kura ndani ya kituo cha kupiga kura ndani ya Australia House katika ubalozi wa Australia mjini London
Wapiga kura ndani ya kituo cha kupiga kura ndani ya Australia House katika ubalozi wa Australia mjini London Source: AEC

Ikiwa inasalia wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu kuanza rasmi 2 Julai, baadhi yawa Australia wame anza kupiga kura zao, shughuli hiyo imeanza rasmi mapema hii leo Jumanne tarehe 14 Julai.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Ikiwa inasalia wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu kuanza rasmi 2 Julai, baadhi yawa Australia wame anza kupiga kura zao, shughuli hiyo imeanza rasmi mapema hii leo Jumanne tarehe 14 Julai.


Idadi kubwa yawatu wanatarajiwa kupiga kura zao mapema katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu, inatarajiwa watakao piga kura mapema mwaka huu, watazidi asilimia 27 ambayo ni rekodi iliyo wekwa katika uchaguzi wa mwaka wa 2013.

 

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now