Wahamiaji waondoka Australia kwa sababu ya sheria za mipaka

Wasafiri watembea ndani ya uwanja wa ndege wakimataifa wa Sydney

Wasafiri watembea ndani ya uwanja wa ndege wakimataifa wa Sydney, Australia Source: AAP

Uamuzi wa serikali ya madola kutofungua mipaka yakimataifa hadi katikati ya mwaka ujao, umekuwa pigo la mwisho kwa wahamiaji wengi ambao wamesema, hawawezi subiri hadi wakati huo kuwaona jamaa wao ng'ambo.


Wengi wameondoka tayari milele nchini Australia au wanazingatia jinsi yakuondoka, hatua ambayo ni pigo lingine kwa uchumi unao wahitaji wafanyakazi wenye ujuzi.

Vinginevyo, wahamiaji wanasema wata endelea kuigeuzia Australia migongo.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now