Wakazi wa Melbourne wafunguka kuhusu marufuku yakutoka nje

Residents in Melbourne are now required to comply with a city-wide nightly curfew.

Residents in Melbourne are now required to comply with a city-wide nightly curfew. Source: Getty Images

Ongezeko ya maambukizi ya virusi vya COVID-19 ime ilazimisha serikali ya jimbo la Victoria kuchukua hatua kali kulinda jamii.


Moja ya hatua hizo nikutoa amri yamarufuku yakutoka nje, kuanzia saa mbili usiku hadi saa kumi na moja alfajiri. Viongozi wamesisitiza uamuzi huo haukuchukuliwa kwa wepesi, ila jukumu lao la kwanza nikuzuia usambaaji wa virusi katika jamii pamoja nakulinda umma.

Kujua jinsi wakazi wa Melbourne wamepokea mari hiyo, Idhaa ya Kiswahili ilizungumza na Bw Hozey, ambaye aliweka wazi hisia zake kwa amri hiyo pamoja na juhudi nzima yakulinda jamii dhidi ya maambukizi ya COVID-19.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service