Wakenya waingia debeni jimboni Victoria

iVote

iVote Source: SBS

Wanachama wa Jumuiya yawa Kenya wanao ishi Victoria (KCV), wanashiriki katika uchaguzi wa bodi mpya ya viongozi wao.


Nafasi zinazo waniwa ni:

  1. Mwenyekiti
  2. Naibu Mwenyekiti
  3. Katibu
  4. Mratibu wa Teknolojia (nafasi mbili)
Bw Patrick ni Afisa wa Habari katika shirika la KCV, naye Bw Shoeb ndiye kiongozi wa uchaguzi huo.

Katika mahojiano na SBS Swahili, wawili hao walifunguka kuhusu maandalizi ya upigaji kura pamoja na utaratibu waku tangaza matokeo ya kura hizo.

Kwa taarifa zaidi kuhusu uchaguzi huo, tembelea mitandao ya kijamii na tovuti ya KCV.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service