Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wakenya waingia debeni jimboni Victoria

iVote

iVote Source: SBS

Wanachama wa Jumuiya yawa Kenya wanao ishi Victoria (KCV), wanashiriki katika uchaguzi wa bodi mpya ya viongozi wao.


Tazama makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Nafasi zinazo waniwa ni:

  1. Mwenyekiti
  2. Naibu Mwenyekiti
  3. Katibu
  4. Mratibu wa Teknolojia (nafasi mbili)

Bw Patrick ni Afisa wa Habari katika shirika la KCV, naye Bw Shoeb ndiye kiongozi wa uchaguzi huo.

Katika mahojiano na SBS Swahili, wawili hao walifunguka kuhusu maandalizi ya upigaji kura pamoja na utaratibu waku tangaza matokeo ya kura hizo.

Kwa taarifa zaidi kuhusu uchaguzi huo, tembelea mitandao ya kijamii na tovuti ya KCV.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now