Wakenya waongezewa muda wa marufuku wakutotoka nje usiku

Rais Kenyatta atoa hotuba

Rais Kenyatta ahotubia taifa kuhusu vizuizi vya covid-19 Source: State House Kenya

Serikali ya Kenya imeongeza muda wa kutotoka nje usiku ndani ya nchi nzima kwa siku 30.


Amri hiyo, imewekwa kwa ajili ya kuzuia kuenea kwa COVID-19 nchini humo.

Wakati akilihutubia taifa kutoka ikulu ya Nairobi Jumamosi, Rais Uhuru Kenyatta alisema kuwa kulegeza masharti kwa asilimia 20, huenda kutapelekea maambukizi mapya 200,000 na vifo 30,000 ifikapo Disemba.

Rais hata hivyo, amesema amri hiyo itaanza kutekelezwa kati ya saa tatu usiku hadi za kumi alfajiri kuanzia Jumapili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service