Amri hiyo, imewekwa kwa ajili ya kuzuia kuenea kwa COVID-19 nchini humo.
Wakati akilihutubia taifa kutoka ikulu ya Nairobi Jumamosi, Rais Uhuru Kenyatta alisema kuwa kulegeza masharti kwa asilimia 20, huenda kutapelekea maambukizi mapya 200,000 na vifo 30,000 ifikapo Disemba.