Wakimbizi wafunga magoli na kujenga madaraja

Serhii Pohrebniak (SBS).jpg

Wachezaji wa soka katika mashindano mjini Perth, wanafanya mengi zaidi yakufunga magoli, wanajenga madaraja kati ya jamii naku mulika nguvu ya jamii zawakimbizi wa Magharibi Australia.


Tukio hilo ambalo hufanywa wakati wa Wiki ya Wakimbizi, Kombe la Uhuru huwaleta pamoja wachezaji kutoka mazingira ya ukimbizi na mashirika ya serikali, kusherehekea ujasiri, uhusiano na kujumuishwa.

SBS imekuwa ikizungumza na mchezaji aliyekimbia vita nchini Ukraine akiwa na mkewe, na alipata tumaini, uponyaji na jamii.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service