Mechi kati ya Wallabies wa Australia na All Blacks wa New Zealand, mara nyingi huzua hisia mseto kati ya marafiki, familia na washiriki.
Mtayarishaji mkuu wa michezo wa Idhaa ya Kiswahili ya SBS Frank Mtao, ameandaa makala haya kuhusu yaliyo jiri katika wikendi ya michezo nchini Australia na kimataifa.
Share






