Wanafunzi wengi wakimataifa wamepitia uzoefu wa ubaguzi wa rangi wakati wa janga la COVID-19

Wanafunzi washiriki katika sherehe yakuhitimu chuoni

Wanafunzi washiriki katika sherehe yakuhitimu chuoni Source: AAP

Utafiti mpya uliowashirikisha zaidi ya idadi yawanafunzi elfu sita wakimataifa nchini Australia, umepata kuwa wengi wao wanakabiliana na ubaguzi wa rangi kwa sababu ya COVID-19.


Janga hilo pia limefanya maisha yawe magumu zaidi, wengi wa wanafunzi husika wakiripoti kupoteza ajira pamoja na hofu yakupoteza makazi yao.

Na unaweza endelea kupata taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service