Utafiti mpya uliowashirikisha zaidi ya idadi yawanafunzi elfu sita wakimataifa nchini Australia, umepata kuwa wengi wao wanakabiliana na ubaguzi wa rangi kwa sababu ya COVID-19.
Janga hilo pia limefanya maisha yawe magumu zaidi, wengi wa wanafunzi husika wakiripoti kupoteza ajira pamoja na hofu yakupoteza makazi yao.
Na unaweza endelea kupata taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus
Share






