Wapangaji wajisajili kwa hatua yakupata msaada wa kodi

خانه های اجاره ای

"For Lease" signs are seen outside a block of units in inner Sydney on Friday, April 8, 2016. (AAP Image/Mick Tsikas) NO ARCHIVING Source: AAP

Harakati yakitaifa inaongezakasi wapangaji wanapo endelea kuomba hatua ichukuliwe kwa kodi za nyumba.


Takriban idadi yawatu wapatao elfu kuminasaba, wamejisajili tayari kushiriki katika harakati ya mgomo wakulipa kodi nchini kwa sababu ya Covid-19, wakati mashauriano ya serikali yamekwama.

Inatarajiwa kuwa serikali zamajimbo na wilaya, huenda zikatangaza hatua katika sikuzijazo. Majimbo ya New South Wales na Victoria, yanatarajiwa kupunguza kodi ya ardhi kwa wenyenyumba, iwapo watatoa msaada wa kodi.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now