Waziri Mkuu asema "ni huduma kwa taifa kutumia app yakufuatiliwa"

Woman uses Australian coronavirus tracking app

Source: AAP

Serikali ya shirikisho inataka angalau asilimia 40 yawa Australia wapakue app yakufuatiliwa katika simu yarununu, kwa ajili yakusaidia kuwatambua watakao kuwa wamekutana na watu ambao wana Covid-19.


Waziri Mkuu Scott Morrison amesema matumizi makubwa ya teknolojia hiyo, yataruhusu vizuizi vya coronavirus kuondolewa.

Unaweza endelea kupokea taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service