Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Waziri Mkuu asema "ni huduma kwa taifa kutumia app yakufuatiliwa"

Woman uses Australian coronavirus tracking app

Serikali ya shirikisho inataka angalau asilimia 40 yawa Australia wapakue app yakufuatiliwa katika simu yarununu, kwa ajili yakusaidia kuwatambua watakao kuwa wamekutana na watu ambao wana Covid-19.


Published

Updated

By Greg Dyett

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Serikali ya shirikisho inataka angalau asilimia 40 yawa Australia wapakue app yakufuatiliwa katika simu yarununu, kwa ajili yakusaidia kuwatambua watakao kuwa wamekutana na watu ambao wana Covid-19.


Waziri Mkuu Scott Morrison amesema matumizi makubwa ya teknolojia hiyo, yataruhusu vizuizi vya coronavirus kuondolewa.

Unaweza endelea kupokea taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now