Madhara ya mashambulizi ya ugaidi kwa wanawake waki Islamu ni yapi?
Polisi wa saka nyumba ya Yacqub Khayre katika kitongoji cha Roxburgh Park, Victoria, Australia Source: Picha: AAP Image/David Crosling
Wasi wasi na mvutano unapo endelea kuhusu ugaidi, na wakati vyombo vya usalama vina endelea na juhudi zaku zuia mashambulizi ya ugaidi wasichana wakisomali wali eleza SBS Swahili kuhusu madhara ya mashambulizi haya kwao.
Share




