Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

WHO: Viwango vya ugonjwa wakisukari vimeongezeka mara nne tangu 1980

Wataalam wame baini uhusiano kati ya uzito wakupita kiasi na athari ya aina ya pili ya ugonjwa waki sukari
Wataalam wame baini uhusiano kati ya uzito wakupita kiasi na athari ya aina ya pili ya ugonjwa waki sukari Source: AAP

Shirika la Afya Duniani (WHO) lime sema idadi ya watuwazima wenye ugonjwa waki sukari ulimwenguni, ime ongezeka mara 4 chini ya miongo mine.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Shirika la Afya Duniani (WHO) lime sema idadi ya watuwazima wenye ugonjwa waki sukari ulimwenguni, ime ongezeka mara 4 chini ya miongo mine.


Tokea mwaka wa 1980 idadi ya watuwazima wenyekuwa na ugonjwa wakisukari ni milioni 422. Kwa mujibu wa matokeo ya utafuti kwa ugonjwa wa Kisukari, watafiti wa shirika la WHO, wame sema kwamba mwongezeko wa idadi ya watu wenye umri mkuu na mwongezeko wa idadi ya watu wanene ulimwenguni, imechangia katika mwongezeko wa ugonjwa huo.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now