Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wiki Hii Barani Afrika: Nchi za Afrika Mashariki kujenga kiwanda chakusafisha mafuta Tanga, Tanzania

Afrika kwenye ramani ya dunia.png

Baadhi ya nchi za Afrika Mashariki zime anza mazungumzo kuhusu, ujenzi wa kiwanda chakusafisha mafuta katika bandari ya Tanga, nchini Tanzania.


Katika hotuba yake wakati wa mkutano wa ufadhili mjini Nairobi, Rais wa Kenya William S Ruto alisema, kiwanda hicho kinacho pendekezwa kita hudumia nchi kadha za ukanda wa Afrika Mashariki.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now