Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je chama cha upinzani kitafanikiwa kutimua makamishna wa tume ya uchaguzi ya Kenya?

Wanachama cha CORD waandamana nje ya makao makuu ya IEBC mjini Nairobi, Kenya
Wanachama cha CORD waandamana nje ya makao makuu ya IEBC mjini Nairobi, Kenya Source: Getty Images

Published

Updated

By Gode Migerano, SBS Swahili

Presented by SBS Swahili, Gode Migerano

Source: SBS, SBS



Share this with family and friends


Viongozi wa chama cha upinzani wame apa kuendeleza maandamano pamoja na wafuasi wao hadi wakati makamishna wa tume ya uchaguzi watakapo jiuzulu.
Viongozi wa chama cha CORD Raila Odinga na Moses Wetangula, wakiongoza mgomo dhidi ya tume ya uchaguzi ya Kenya (IEBC)
Viongozi wa chama cha CORD Raila Odinga na Moses Wetangula, wakiongoza mgomo dhidi ya tume ya uchaguzi ya Kenya (IEBC) Source: EPA, DAI KUROKAWA

Vyombo vya usalama vime jitahidi kudumisha utulivu katika maandamano hayo, hata hivyo mazingira ya maandamano hayo yame sababisha vyombo vya usalama kutumia vitoza machozi kuwatawanya waandamanaji.

Waandamanaji wakitawanywa na vyombo vya usalama katika maandamano dhidi ya tume ya uchaguzi ya Kenya mjini Nairobi.
KWaandamanaji wakitawanywa na vyombo vya usalama katika maandamano dhidi ya tume ya uchaguzi ya Kenya mjini Nairobi. Source: TONY KARUMBA, AFP, Getty Images

Kwa uelewa zaidi wa swala hili, SBS Swahili ilizungumza na mwanasheria Steve Nyaribo Isinta, ambaye ni mmoja wa wanasheria wanao miliki shirika la sheria la Saende & Ochola mjini Nairobi Kenya.

Kwa Maelezo ya ziada kuhusu Bw Steve Nyaribo Isinta na kazi yake tembelea tovuti shirika lake:

www.saendeocholalaw.com

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now