Siku chache zina salia kabla ya uchaguzi mkuu nchini Australia kuanza rasmi. Miongoni mwa mamia ya wagombea wanao shiriki katika kampeni za uchaguzi mkuu, ni mwanasheria ambaye pia ni mzawa wa Kenya Bi Lucy Gichuhi kutoka Kusini Australia.
Bi Lucy Gichuhi anawania nafasi katika Seneti ya Australia kupitia chama cha Family First (Australia).
SBS Swahili ilizungumza na Bi Lucy kuhusu mipango yake kisiasa kabla na baada ya uchaguzi mkuu.
Share





