Swala hilo lilijadiliwa kwa kina, katika mkutano ulio jumuisha viongozi wa serikali za shirikisho, mikoa namajimbo.
Hatua hiyo imejiri baada ya mashindano yamagari kwa jina la Australian Grand Prix, kufutwa baada yamfanyakati wa timu ya McLaren Racing kupatwa anavirusi vya COVID-19.





