Ukosefu wa taarifa na elimu juu ya masuala ya unyanyasaji wa jinsia kwa wanawake, kumewafanya baadhi ya waathirika wasijue kama wamenyanyasika na wengine wakitambua lakini wakishindwa kufahamu jinsi ya kupata msaada. Tuungane na Mshauri Weda Ringo akihojiwa na Frank Mtao
Share






