Kume kuwa mgwanyiko kati ya kambi yamakanisa katika Jamuhuri yakidemokrasia ya Kongo, kutakana na swala lakubadilisha katiba.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Kanisa Katoliki nala Protestanti, yana iona hatua hiyo kama inayoweza leta machafuko zaidi ambapo yametaka kuweko mazungumzo kati ya upinzani na serikali ya taifa hilo.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share






