Kijana mmoja ambaye ni mfungwa katika gereza la watoto katika jimbo la kaskazini ame eleza kikao cha uchunguzi kwa dhulma dhidi ya watoto gerezani kuwa, mlinzi mmoja ndani ya gereza hilo alijaribu kumnyonga.
Madai hayo yalitolewa katika kikao cha tume ya uchunguzi kwa gereza za watoto za jimbo la Kaskazini, kikao hicho kinafinyiwa mjini Alice Springs.
Share





