Bajeti ya 2021-22 yapokewa kwa hisia mseto

Waziri Mkuu Scoot Morrison ampongeza Mweka hazina Josh Frydenberg

Waziri Mkuu Scoot Morrison ampongeza Mweka hazina Josh Frydenberg, baada ya mweka hazina kutoa bajeti yake ya tatu ya taifa. Source: AAP

Bajeti ya taifa iliyo tangazwa na serikali imelakiwa kwa hisia mseto, licha ya lengo layo kuwa ni kusaidia Australia katika mchakao wa uponaji kutoka mtikisiko wa uchumi uliosababishwa na coronavirus.


Katika bajeti hiyo kuna ahadi zamatumizi makubwa katika sehemu nyingi za sera, na ahadi chache au uhaba wa ahadi katika sehemu zingine.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now