Duru la Michezo 20 Disemba 2020

Nahodha wa D R Congo Clement na mdogo wake Charles

Nahodha wa D R Congo Clement na mdogo wake Charles Source: African Cup NSW

Fainali za michuano ya Afrika NSW zamalizika kwa kishindo


Timu ya soka Jumuiya ya Ghana yatwaa taji baada ya kuitoa jasho Sudani Kusini katika mchezo wa fainali ngumu kuwahi kufanyika hapa NSW

Congo nayo iliambulia patupu baada ya kulazwa kwa mabao 3-2 dhidi ya Cape Verde ambao walitawazwa kuwa washindi wa tatu kwa mwaka 2020.

Video kamili ya mitanange hiyo utaipata kupitia youtube channel ya SBS Swahili na kuangalia SBS NITV.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now