Hadija "Afrika si bara la giza, tuna uwezo na rasilimali zakujiendeleza"

Sehemu ya mji na bandari ya Dar es Salaam kutoka angani

Sehemu ya mji na bandari ya Dar es Salaam kutoka angani Source: Getty Images/MOIZ HUSEIN

Bara la Afrika kwa muda mrefu limezingatiwa kama bara la giza, hiyo ni licha ya bara hilo kujawa rasilimali na madini ya kila aina.


Hayati Rais Dkt John Magufuli wa Tanzania, ni kiongozi aliye ongoza kwa misimamo na mitindo tofauti na viongozi wenza barani Afrika.

Bi Hadija, ni mtanzania anaye ishi nchini Australia, katika mazungu na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, alitathmini uongozi wa hayati Dkt Magufuli na alivyo onesha jinsi bara hilo linaweza jiendeleza kupitia rasilimali zake binafsi, bila kutegemea misaada yakigeni.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now