Halima "Uongozi wa Magufuli, niwakipekee si wakulinganishwa"

Ujenzi wa flyover ya Ubungo wakaribia malizika

Ujenzi wa flyover ya Ubungo wakaribia malizika Source: Getty Images

Watanzania wanao ishi Australia, wameungana na wenzao barani Afrika kuombeleza kifo cha aliyekuwa rais wa awamu ya tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli.


Licha yakuwa mbali, wengi wao wamekuwa wakifuatilia kwa karibu maendeleo yaliyo kuwa yakifanyika nchini kwao, kwa kasi isiyo yakawaida. Na katika muda wa miaka mitano ya uongozi wa hayati Dkt Magufuli, nchi hiyo ilikuwa imebadilika sana.

Bi Halima ni mweka hazina wa jamii yawatanzania, wanao ishi jimboni New South Wales. Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, alizungumzia hatua ambazo serikali ilikuwa imechukua, kuweka taifa hilo la Afrika Mashariki katika hatua bora miongoni mwa mataifa mengine yanayo endelea.

Bofya hapo juu usikize taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now