Jamii yawatanzania wa Melbourne, yamkumbuka hayati Dkt Magufuli

Watanzania wamkumbuka hayati Dkt Magufuli mjini Melbourne

Baadhi ya wanachama wajamii yawatanzania wanao ishi Melbourne, kwenye tukio lakutoa heshima kwa hayati Dkt Magufuli. Source: Hillary

Jamii yawatanzania wanao ishi mjini Melbourne, Victoria wame kuwa waki ishi chini ya vizuizi kadhaa wakati huu wa janga la COVID-19.


Kifo cha rais wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli kilipo tangazwa, jamii hiyo ilikuwa chini ya vizuizi kumaanisha wanachama hawakuweza jumuika pamoja katika ibada za maombolezi.

Siku chache baada ya vizuizi hivyo kuondolewa viongozi wajamii hiyo, waliandaa hafla ambako wanachama walijumuika pamoja namarafiki wajamii hiyo, ambapo walitoa heshima zao kwa hayati Dkt Magufuli. Bw Lyimo, ni mmoja wa washauri katika jamii hiyo, katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, alifafanua umuhimu wajamii kuandaa hafla hiyo.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.

 


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now