Je umuhimu wakufunza watoto lugha yako ya asili ni nini?

Mwalimu David, ndani ya darasa la shule ya Kiswahili mjini Sydney, Australia

Mwalimu David, ndani ya darasa la shule ya Kiswahili mjini Sydney, Australia Source: SBS Swahili

Wahamiaji wengi nchini Australia hukabiliwa na changamoto, yakuwazoweza watoto wao lugha zao za asili katika nchi geni.


Kujibu changamoto hiyo, shirika la Nakango Vision Inc lenye makao makuu katika kitongoji cha Fairfield, New South Wales, Australia lime fungua shule yakiswahili na kifaransa.

Kila Jumamosi asubuhi, wavulana kwa wasichana wenye umri tofauti, hufunzwa Kiswahili na Kifaransa katika darasa hilo.

Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilitembelea shule hiyo, nakuzungumza na mwalimu pamoja na baadhi ya wanafunzi walio weka wazi hisia zao kuhusu kufundisha nakufunzwa Kiswahili katika shule hiyo. Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now