Lazima wafanyakazi katika makaazi ya huduma ya wazee wachanjwe

Prime Minister Scott Morrison makes an announcement on Monday evening while isolating at The Lodge, following a National Cabinet meeting.

نخست‌وزیر اسکات موریسن شامگاه روز دوشنبه (۲۸ جون) اعلام کرد که افراد زیر ۴۰ سال می‌توانند در مورد دریافت استرازنکا با داکتر خود مشورت کنند. Source: SBS

Itakuwa lazima kwa wafanyakazi wa huduma za wazee kupata chanjo za coronavirus, na kundi la wafanyakazi linalo lengwa linatarajiwa kupata dozi yao ya kwanza katikati ya Septemba.


Viongozi katika sekta hiyo, wamekaribisha uamuzi huo, kwa maneno ya onyo.

Serikali ya shirikisho itatoa dola milioni 11 kuruhusu makazi ya huduma ya wazee, kutoa malipo ya likizo kwa wafanyakazi kuchanjwa.

Kwa ushauri wa afya na misaada ambayo imewekwa kwa jibu la janga la COVID-19 katika lugha yako, tembelea tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now