Mahakama kuamua hatma ya mchakato wa BBI nchini Kenya

Raila Odinga na Rais Uhuru Kenyatta wakiwa na ripoti ya BBI

Raila Odinga na Rais Uhuru Kenyatta wakiwa na ripoti ya BBI Source: PSCU

Mahakama ya rufaa nchini Kenya imeamuru mchakato wakubadili katika wa BBI isikizwe 2 Juni 2021, wahusika wote katika kesi hiyo wakitakiwa kufika mahakamani.


Mawakili wameomba mahakama hiyo ifutilie mbali uamuzi wamahakama kuu, uliosema sheria na katiba haziku fuatiliwa, pale mchakato wa BBI ulipozinduliwa na Rais Kenyatta na Bw Odinga.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now