Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mchungaji David aweka wazi mipango ya mwaka, na huduma kwa waumini

Mchungaji David Runezerwa baada ya ibada

Mchungaji David Runezerwa baada ya ibada Source: David Runezerwa

Kila shirika na viongozi huanda mipango na vipaumbele vya mashirika na kazi zao, mwaka mpya unapo anza.


Viongozi wakidini nao hufanya hivyo pia na, hiyo ni sehemu muhimu yakutekeleza wajibu wao kwa waumini na wanao shiriki katika ibada zao.

Mchungaji David kutoka shirika la Sing Hosanna International Ministry, alizungumza na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, kuhusu vipaumbele vyake, kama kiongozi wakidini mwaka huu wa 2021, pamoja na jinsi anavyo saidia waumini wakati huu wa janga la COVID-19.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now