Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Mh Dkt Luc Mulimbalimba, afunguka kuhusu jaribio kwa maisha yake DRC

Mh Dkt Luc Mulimbalimba ndani ya studio za redio ya SBS, mjini Sydney, Australia

Mh Dkt Luc Mulimbalimba ndani ya studio za redio ya SBS, mjini Sydney, Australia Source: SBS Swahili

Siasa sawia na taaluma zingine huwa na changamoto mbali mbali, zinazo wakabili wafanyakazi pamoja na watu wanao shirikiana nao.


Je! mfanyakazi anastahili fanya nini, wakati majukumu yakazi yake, yanageuka kuwa tisho kwa usalama au maisha yake?

Mh Dkt Luc Mulimbalimba, anaye wakilisha jimbo la Kivu Kaskazini katika Jamhuri yaki Demokrasia ya Kongo, alijipata katika hali tata, ambapo majukumu ya kazi yake yaliweka maisha yake hatarini kiasi kwamba ilibidi, aondoke nchini mwake kwa muda.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Mh Dkt Mulimbalimba aliweka wazi masaibu aliyo kabiliana nayo nakama atarejea nyumbani, kuendelea kutekeleza wajibu wake kwa yawapiga kura wake.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now