Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Serikali ya toa jibu kwa ripoti muhimu kuhusu heshima kazini

Mhandisi wa udhibiti wa ubora achunguza chuma mashine ndani ya kiwanda

Mhandisi wa udhibiti wa ubora achunguza chuma mashine ndani ya kiwanda Source: Getty images

Serikali ya shirikisho imetoa jibu kwa ripoti ya tume ya kamishna wa ubaguzi wa jinsia, kuhusu heshima kazini baada ya zaidi ya miaka mbili. Jibu hilo limepokewa kwa hisia mseto.


Jibu la serikali limejiri inapo kabiliwa kwa shinikizo ishughulikie usalama wa wanawake, baada ya madai kadhaa ya ubakaji na unyanyasaji wakijinsia.

Waziri wa usalama wa wanawake Anne Ruston anawahamasisha watu wajisajili kwa kongamano la usalama wa wanawake la Julai, na wawasilishe mawazo yao.

Kongamano lakitaifa la usalama wa wanawake, limeratibiwa kufanyika tarehe 29 na 30 Julai 2021.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now