Taarifa ya habari 23 Mei 2021

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Maelfu ya watu wameukimbia mji wa Goma ulio mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na kuingia Rwanda baada ya kutokea mripuko wa Volcano kwenye mlima Nyiragongo.


Waziri wa afya wa shirikisho Greg Hunt amewaonya wa Australia wenye zaidi ya miaka 50, wapokee chanjo haraka iwezekanavyo na wasisubiri aina zingine za chanjo.

Maandamano yanayo unga mkono wa Israeli nawa Palestina yameshuhudiwa hii leo kote nchini Australia.

Wanachama wa jamii yawa Palestina waliandamana katika mitaa ya miji mikuu ya Australia, kutoka Sydney hadi Adelaide.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now