Wakenya walazimisha shirika la fedha ulimwenguni (IMF) kujitetea

Mkenya na bango lake katika maandamano dhidi ya ongezeko yamadeni

Mkenya na bango lake katika maandamano dhidi ya ongezeko yamadeni Source: Getty Images

Maelfu yawakenya walijumuika mitandaoni kuonesha ghadhabu yao kwa ongezeko ya madeni, na gharama kubwa ya maisha nchini mwao.


Wengi wao walituma ujumbe moja kwa moja kwa shirika la fedha ulimwenguni (IMF) kupitia mtandao wa Twitter, wakitaka shirika hilo lisitishe mikopo ambayo lina toa kwa serikali ya Kenya. Mkurugenzi wa kitengo cha maswala ya Afrika katika shirika hilo Abebe Selassie, alijibu malalamishi yawakenya hao.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now