Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wanawake wapewa heshima katika tuzo zawa Australia wa mwaka

Washindi wa tuzo zamu Australia wa mwaka 2021: (Kushoto) Grace Tame, Dr Miriam-Rose Ungunmerr Baumann AM, Isobel Marshall, Rosemary Kariuki.

Washindi wa tuzo zamu Australia wa mwaka 2021: (Kushoto) Grace Tame, Dr Miriam-Rose Ungunmerr Baumann AM, Isobel Marshall, Rosemary Kariuki. Source: Salty Dingo

Washindi wote wa tuzo ya 2021 yamu Australia wa mwaka, ni wanawake kutoka tamaduni mbali mbali.


Wame pewa tuzo hizo, kwa huduma yao kwa jamii zawa Australia.

Na kwa mara ya kwanza katika historia yamiaka 61 ya tuzo hiyo, mkaazi wa Tasmania ametangazwa kuwa mu Australia wa mwaka.

Mapendekezo yamu Australia wa mwaka wa 2022, yako wazi kwa sasa. Na kama kuna mtu katika jamii yako ambaye unadhani, anastahili zingatiwa kupokea tuzo hizo, unaweza mpendekeza kupitia tovuti hii: australianoftheyear.org.au


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now