Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Aina mpya ya kirusi cha mpox chatambuliwa Pakistan, umakini wa himizwa na hatua ziongezwe

A health worker attends to a girl suffering from mpox, at a treatment centre in Munigi, eastern Congo

A health worker attends to a girl suffering from mpox, at a treatment centre in Munigi, eastern Congo, Friday, Aug. 16, 2024. (AP Photo/Moses Sawasawa) Source: AP / Moses Sawasawa/AP

Kesi mpya ya kirusi cha mpox imeripotiwa nchini Pakistan, baada ya kesi kama hiyo kuripotiwa nchini Sweden.


Published

By Essam Al-Ghalib

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Kesi mpya ya kirusi cha mpox imeripotiwa nchini Pakistan, baada ya kesi kama hiyo kuripotiwa nchini Sweden.


Mamlaka wame ongeza juhudi kuthibitisha kama ni aina mpya ya kirusi kinacho zua hofu, siku kadhaa baada ya WHO kutangaza dharura ya afya duniani baada ya virusi hivyo kusambaa.

Hakuna kesi mpya ya aina mpya ya mpox, ambayo imeripotiwa nchini Australia kwa sasa. Ila, kume kuwa ongezeko kwa aina ya kirusi ambacho si kikali sana ambacho tayari kiko nchini Australia, kuna kesi 35 zilizo rekodiwa katika siku 15 zilizo pita, katika majimbo kadhaa nchini.

Nias Peng ni mtaalam wa virusi katika shirika la CSIRO, amesema ujio wa virusi hivyo ni sawia na ile hali ya 2022. Mamlaka wa Afya wamesema huu ni wakati waku chukua hatua za haraka, kuzuia historia kujirudia.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now