Aliye pokea chanjo ya COVID-19 afunguka kuhusu madhara aliyopata

Members of the public wait for a vaccine at a mass COVID-19 vaccination hub in Sydney.

Experts hope the lockdown across Greater Sydney will encourage more people to get vaccinated. Source: AAP

Wanachama wengi katika jamii zawa hamiaji wamekuwa wakielezea wasi wasi wao kuhusu chanjo za COVID-19 zinazo tolewa nchini.


Licha ya wasi wasi huo, mamlaka pamoja na Idara za Afya kote nchini, zinaendelea kufanya kampeni zaku wahamasisha watu wapokee chanjo, kwa ajili yaku dhibiti nakulinda wa Australia dhidi ya virusi vya COVID-19.

Mtayarishaji wetu wa makala Frank, ni mmoja miongoni mwa wanachama wa jamii zawatu kutoka Mashiriki Afrika, aliye jitolea kupata chanjo hiyo ya COVID-19. Ali fafanulia Idhaa ya Kiswahili ya SBS, hatua alizo fuata pamoja na utaratibu wote unao fuatwa kwa mtu kupata chanjo hiyo.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Aliye pokea chanjo ya COVID-19 afunguka kuhusu madhara aliyopata | SBS Swahili